JONAS MKUDE KUIKOSA LIPULI JONAS MKUDE AKIWA NA WACHEZAJI WENZIE
Kikosi cha wekundu wa Msimbazi ,Simba kushuka dimbani hii leo majira ya saa 10 kamili jioni mjini Iringa kukipiga na Lipuli FC Uwanja wa Samora
Simba itakichakaza bila kiungo wake Jonas Mkude ambaye anatumikia adhabu ya kadi tatu za njano.
Aidha Mkude atalazimika kusubiri mechi dhidi ya watani zake wa jadi utakaopigwa Aprili 29 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Pia Kiungo James Kotei ndiye atakuwa mbadala wa Mkude katika sehemu ya kiungo kutokana na kufanana aina ya mchezo wanaocheza.
Simba itakichakaza bila kiungo wake Jonas Mkude ambaye anatumikia adhabu ya kadi tatu za njano.
Aidha Mkude atalazimika kusubiri mechi dhidi ya watani zake wa jadi utakaopigwa Aprili 29 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Pia Kiungo James Kotei ndiye atakuwa mbadala wa Mkude katika sehemu ya kiungo kutokana na kufanana aina ya mchezo wanaocheza.

Comments
Post a Comment